Surah Al-Kauther (A River in Paradise)

Listen

Swahili

Surah Al-Kauther (A River in Paradise) - Aya count 3

إِنَّاۤ أَعۡطَیۡنَـٰكَ ٱلۡكَوۡثَرَ ﴿١﴾

Hakika tumekupa kheri nyingi.

Sisi hakika tumekupa kheri nyingi za daima katika dunia na Akhera.


Arabic explanations of the Qur’an:

فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنۡحَرۡ ﴿٢﴾

Basi swali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.

Ilivyo kuwa umepewa hayo, basi dumisha Swala kwa Mola wako Mlezi kwa usafi kabisa, na uchinje dhabihu wako kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa aliyo kupa ya ukarimu, na akakukhusisha wewe khasa kwa kukupa kheri.


Arabic explanations of the Qur’an:

إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلۡأَبۡتَرُ ﴿٣﴾

Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu.

Hakika huyo anaye kuchukia ndiye aliye katika na kila kheri.


Arabic explanations of the Qur’an: