Surah Al-Ikhlas (Sincerity)

Listen

Swahili

Surah Al-Ikhlas (Sincerity) - Aya count 4

قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ ﴿١﴾

Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.

Ewe Muhammad! Hao wanao sema kwa kejeli, "Tusifie Mola wako Mlezi.": waambie: Yeye ni Mwenyezi Mungu wa pekee hapana mwenginewe, wala hana mshirika.


Arabic explanations of the Qur’an:

ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ ﴿٢﴾

Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.

Mwenyezi Mungu Mwenye kukusudiwa peke yake katika haja zote, na yote yanayo takikana.


Arabic explanations of the Qur’an:

لَمۡ یَلِدۡ وَلَمۡ یُولَدۡ ﴿٣﴾

Hakuzaa wala hakuzaliwa.

Hana mtoto wala hakuzaliwa na baba wala mama,


Arabic explanations of the Qur’an:

وَلَمۡ یَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدُۢ ﴿٤﴾

Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.

Wala hana yeyote aliye mshabihi, au mfano wake.


Arabic explanations of the Qur’an: